عرض المشاركة وحيدة
  #5  
قديم 07/11/2003, 01:29 PM
صورة عضوية tamosu
tamosu tamosu غير متواجد حالياً
أبو محمد
 
تاريخ الانضمام: 04/11/2003
الإقامة: سلــطـــنة عُــــــــــــــمان
المشاركات: 45,232
ويش فيهم زنجباريين

UTUKUFU WA MWEZI WA RAMADHANI
BISMILLAHI RRAHMAN RRAHEEM

Mwezi wa Ramadhani ni mwezi Mtukufu sana, na kama
inavyoelezwa kuwa
umegawika katika makumi matatu (3) muhimu sana,
ambayo kila Muislamu
anatakiwa kuzidisha ibada, zikiwemo sala za sunna,
Qurani, sadaka na mengi
mengineyo yatakayo muwezesha kupata Rehma za Mola
wetu na maombezi kutoka
kwa Mtume wetu (SAW).

Mbali ya ibada zilizotajwa pia kuna hizi swala
ambazo ni vizuri kila Muislam
ajitahidi kutelekeza